TAARIFA YA SIKU KUU YA EID KUTOKA JESHI LA POLISI

Wednesday, August 7, 2013



JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MAMBO YA NDANI
JESHI LA POLISI TANZANIA



Anuani ya Simu “ MKUUPOLISI”                                                                                                                                                                                                                                                                                                                                   Ofisi ya  Inspekta  Jenerali wa Polisi,
Simu : (022) 2110734                                                                                    Makao Makuu ya Polisi,
Fax Na. (022) 2135556                                                                                                         S.L.P. 9141,
Unapojibu tafadhali taja:                                                                                    DAR ES SALAAM.

BENKI YA KCB YATOA MISAADA

 
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya KCB, Godfrey Ndalahwa,akimkabidhi moja ya boksi lenye vifaa vya kumwekea mgonjwa gesi,Mkuu wa Bima ya Afya wa Hospitali ya Mkoa ya Mwananyamala, Dk.Merina Nkullua, vilivyotolewa na benki hiyo, Dar es Salaam jana. Katikatini Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa benki ya KCB, ChristinaManyenye


HOTUBA YA MKUU WA MASOKO NA MAWASILIANO - BENKI YA KCB TANZANIA, NDUGU CHRISTINA MANYENYE KWENYE HAFLA YA KUKABIDHI MISAADA YENYE THAMANI YA SHILINGI 7,200,000 KWA HOSPITALI YA MWANANYAMALA - TAREHE 6 AUGUST, 2013

TAMASHA LA IDD MOSI DAR LIVE

Meneja wa Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu burudani mbalimbali zitakazokuwepo Dar Live sikukuu ya Idd Mosi
WASANII wa muziki watakaopanda katika jukwaa la kisasa la Dar Live sikukuu ya Idd Mosi pamoja na mabondia  wamelonga na wanahabari kwenye mkutano  ambao umefanyika katika hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana jijini Dar es Salaam.

CCM wafanya kongamano na wasomi wa vyuo vikuu


Baadhi ya Mafisa wa Mkoa wa Vyuo Vya Elimu ya Juu CCM wakiwa na mgeni rasmi wa Kongamano,Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo.

Baraza la jiji lamuomba radhi Mandela





Mandela


Maafisa wakuu mjini Johannesburg, wamemuomba radhi Nelson Mandela kwa kumtumia kimakosa hati ya kudai malipo pamoja na onyo kuwa huenda akakatiwa huduma ya maji na stima kwa kuchelewa kulipia huduma hizo. (HM)

NHIF kuzipeleleza hospitali

Wednesday, May 22, 2013


Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) umeanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya uchunguzi wa madai yanayotolewa kwao na wadau wao. Akizungumza katika mkutano na wadau wa Mbweni, Msimamizi wa NHIF wa Wilaya ya Kinondoni,Grace Mtemba alisema wameamua kufanya hivyo baada ya kupata malalamiko ya mara kwa mara kutoka kwa wadau hao . “Tumepokea malalamiko mengi na hatua tunayoichukua sasa ni kutuma wapelelezi wetu katika hospitali zilizo lalamikiwa kwa ajili ya uchunguzi,” alisema Mtemba.

Mkutano mkuu wa makandarasi kesho


Msajili wa Bodi hiyo, Mhandisi Boniface Muhegi aliyesimama
Bodi ya Usajili wa Makandarasi Nchini(CRB), itafanya Mkutano mkuu wake wa mwaka wa majadiliano kesho Dar es Salaam.
Msajili wa Bodi hiyo, Mhandisi Boniface Muhegi alitoa wito huo jana alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari juu ya maandalizi ya mkutano huo aliosema utaangalia kwa undani mafanikio na changamoto katika sekta ya ujenzi nchini kwa miaka 15 tangu kuanzishwa kwa bodi hiyo. Alisema mkutano huo utakuwa na manufaa kwao ikiwamo kusaidia kuwapandisha madaraja na kupata alama katika maendeleo ya fani yao huku washiriki kutoka nchi za Kenya, Uganda na Rwanda wakialikwa kubadilishana uzoefu na washiriki wa ndani.

Mkutano wa JK, wabunge CCM waamsha makundi ya urais


Mkutano wa ndani baina ya Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete na wabunge wa chama hicho uliofanyika Jumapili iliyopita mjini Dodoma, ni kama umeamsha upya makundi ya kuwania urais wa 2015, Mwananchi limebaini.
Kutokana na hali hiyo, jana chama hicho kililazimika kutumia nguvu kubwa kudhibiti taarifa zinazohusu kauli iliyodaiwa kuwa ilitolewa na Rais Kikwete, kwamba “Wanaoutaka urais kupitia CCM waanze kujipitisha ilimradi wasiwagawe wanachama kwa misingi ya makundi.”