|  | 
| Meneja wa Matukio wa Dar Live, Abdallah Mrisho (wa pili kulia) akiongea na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu burudani mbalimbali zitakazokuwepo Dar Live sikukuu ya Idd Mosi | 
WASANII 
wa muziki watakaopanda katika jukwaa la kisasa la Dar Live sikukuu ya 
Idd Mosi pamoja na mabondia  wamelonga na wanahabari kwenye mkutano 
 ambao umefanyika katika hoteli ya Atriums iliyopo Sinza Afrikasana 
jijini Dar es Salaam.
 Katika mkutano huo wasanii wametambiana kila mmoja
 akitamba kuwa atamfunika mwenzake. Vilevile mabondia nao wametunishiana
 misuli hali inayoonyesha kuwa kutakuwa na bonge la burudani katika 
sikukuu hiyo ya Idd Mosi.Katika sikukuu hiyo wasanii Ali Kiba, H-Baba, Chegge, Temba, Dogo Aslay, Bi. Cheka na Bendi ya Mapacha Watatu watashusha bonge la burudani na kuwapa raha mashabiki watakaohudhuria shoo hiyo. Kwa Upande wa masumbwi bondia Francis Miyeyusho atazipiga na Darius Lupupa kutoka nchini Zambia, Chupaki Chipindi atapigana na Ramadhan Kido. Vilevile mabondia wa kike Ester Kimbe na Irene Kimaro wataonyeshana moto siku hiyo.
(PICHA: SHAKOOR JONGO /GPL)

 
 
 
 
 
 
 
 I’m a Freelance Web Designer & Developer. I’m an enthusiastic, creative designer and geek with 3 years of strong commercial experience and a passion for creating beautiful, accessible websites using Web Standards
I’m a Freelance Web Designer & Developer. I’m an enthusiastic, creative designer and geek with 3 years of strong commercial experience and a passion for creating beautiful, accessible websites using Web Standards
No comments:
Post a Comment
Tuachie Ujumbe wako hapa .