Mwamvita Makamba Amjulia hali Absalom Kibanda

Wednesday, March 20, 2013

 
 
Mwamvita Makamba, akiwa katika chumba alicholazwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wakati alipomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Milpark baada ya kufikishwa katika hospitali hiyo jana usiku nchini Afrika ya Kusini

No comments:

Post a Comment

Tuachie Ujumbe wako hapa .