NMB yapata Tuzo ya Superbrand

Wednesday, February 27, 2013

NMB imepata tuzo ya Superbrand baada ya kuboresha huduma zake ikiwa ni pamoja na huduma za masoko, mtandao mkubwa wa matawi ambapo imeweza kufikia wateja 800,000 nchi nzima. Pia imeweza kutoa huduma mbadala kama Internet Banking, kituo cha huduma kwa wateja na POS.




Mkuu wa masoko NMB Imani Kajula akipokea tuzo toka kwa Mkurugenzi wa Superbrand East Africa- Jawad Jaffer.



Wafanyakazi wa NMB wakifurahia tuzo ya Superbrand