
NEMBO ya huduma ya kuweka, kutoa fedha, kununua na kulipia ankara (M-Pesa) kwa bidhaa mbalimbali kupitia simu ya mikononi ya Vodacom ya nchini, imeibuka mshindi kwenye tuzo za ubora wa huduma na viwango za kimataifa za Super Brands kwa mwaka 2013/14.
Akizungumzia tuzo hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom, Rene Meza, alisema kuwa ni jambo la kujivunia kwa kampuni yake kufanikiwa kupata tuzo hiyo kubwa na yenye heshima kitaifa na kimataifa.
“Tunawashukuru Watanzania kwa kuendelea kuiunga mkono, kuiamini, kuipokea na kuitumia maradufu huduma ya M-Pesa,” alisema Meza.

I’m a Freelance Web Designer & Developer. I’m an enthusiastic, creative designer and geek with 3 years of strong commercial experience and a passion for creating beautiful, accessible websites using Web Standards
No comments:
Post a Comment
Tuachie Ujumbe wako hapa .