Rais wa Venezuela Hugo Chavezi afariki

Wednesday, March 6, 2013




Amefariki akiwa na umri wa miaka 58, Makamu wa Rais Nicola Maduro amethibitisha kutokea kwa msiba huo. Awali ilielezwa kuwa Rais Chavez alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa Kansa

Kwa habari zaidi ungana nasi baadaye

No comments:

Post a Comment

Tuachie Ujumbe wako hapa .